Mpea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mpea
(Pyrus spp.)
Kiunga cha mipea
Kiunga cha mipea
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Rosales (Mimea kama mwaridi)
Familia: Rosaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mwaridi)
Jenasi: Pyrus
L., 1753

Mipea au mipeasi ni miti midogo wa jenasi Pyrus katika familia Rosaceae. Matunda yao huitwa mapea. Jina "mpea" hutumika kwa Persea americana pia lakini afadali jina "mparachichi" litumike kwa mti huu. Asili ya mipea ni kanda ya kaskazini ya wastani na nusutropiki kutoka Ulaya ya Magharibi na Afrika ya Kaskazini mpaka Asia ya Mashariki. Spishi mbalimbali zinapandwa katika maeneo ya hewa ifaayo ili kuvuna matunda yao. Nyingine zinapandwa katika bustani.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]