Mohamed Amine Aoudia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mohamed Amine Aoudia (alizaliwa 6 Juni 1987) ni mchezaji wa soka kutoka Algeria anayeshiriki kama mshambuliaji.

Taaluma[hariri | hariri chanzo]

Aliyezaliwa jijini El Harrach, Algiers, Aoudia alianza taaluma yake katika ngazi ya vijana wa IR Hussein Dey kabla ya kujiunga na CR Belouizdad mwaka 2005 ambapo alikaa kwa misimu mitatu iliyofuata.

Mafanikio[hariri | hariri chanzo]

ES Sétif

  • Algerian Ligue Professionnelle 1: 2011–12, 2012–13
  • Algerian Cup: 2011–12

USM Alger

  • Algerian Ligue Professionnelle 1: 2015-16

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

  • 40633 at National-Football-Teams.com
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mohamed Amine Aoudia kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.