Milima Teffedest

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Garet el Djenoun Teffedest nchini Algeria

Milima Teffedest ni sehemu ya safu ya milima ya Ahaggar nchini Aljeria (Afrika).

Urefu wake unafikia hadi mita 2,370 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]