Mikel Agu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mikel Ndubusi Agu (alizaliwa 27 Mei 1993) ni mchezaji wa kandanda wa Nigeria ambaye anacheza kama kiungo mkabaji au beki wa kati wa timu ya Japan Shonan Bellmare.[1]

Ushiriki Katika Klabu[hariri | hariri chanzo]

Ushiriki Wa Awali Mikel Agu alianza uchezaji wake na timu ya Megapp FC ya Nigeria. Alishiriki katika Copa Coca-Cola ya 2009, ambapo alichaguliwa kama mchezaji bora wa mashindano, na kuvutia shauku ya maskauti.

Ushiriki Kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Agu Alichaguliwa na timu ya taifa ya Nigeria katika kikosi chao cha muda cha wachezaji 35 kwa ajili ya mashindano ya Olimpiki ya Majira ya joto ya 2016.[2]

Mtindo Wa Uchezaji[hariri | hariri chanzo]

Mtindo wa uchezaji wa Agu unaweza kufananishwa na mchezaji wa zamani wa Chelsea John Obi Mikel.

Heshima[hariri | hariri chanzo]

Klabu Club Brugge

  • Ligi ya Ubelgiji Pro: 2015-16
  • Kombe la Ubelgiji: Mshindi wa pili 2015-16

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Agu Scouted". Thenationonlineng.net. 31 August 2015.  Check date values in: |date= (help)
  2. "Mikel Agu Promoted To Porto First Team". Soccerladuma. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 24 March 2014. Iliwekwa mnamo 24 March 2014.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mikel Agu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.