Mehdi Baaloudj

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mehdi Baaloudj (kwa Kiarabu: مهدي بعلوج; alizaliwa 2 Februari 2001) ni mchezaji wa kulipwa ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu Bingwa ya Kitaifa ya Martigues kwa mkopo kutoka klabu ya Guingamp.[1]Mehdi ni Mzaliwa wa Ufaransa, ni mchezaji wa kimataifa wa vijana wa Algeria.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Baaloudj ni zao la akademia za vijana katika klabu za Dammarie Les Lys FC, Fontainebleau, Fleury, Le Mée SF, na Sedan.[2]

Ushiriki Kitaifa[hariri | hariri chanzo]

Mehdi ni Mzaliwa wa Ufaransa, Mehdi ana asili ya Algeria. Aliwakilisha ligi ya Algeria U20s mara mbili katika mwito mnamo Novemba 2020.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "EN U20 / OM : Enquête sur l'affaire Baaloudj-Khetir". DZfoot.com. 
  2. "Feuille de match". Ligue2 (kwa Kifaransa). July 28, 2022. Iliwekwa mnamo August 4, 2022.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mehdi Baaloudj kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.