Mbale

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Mahali pa Mbale katika Uganda.

Mbale ni mji wa Uganda ya kusini-mashariki mwenye wakazi 76,000 kwenye mguu wa mlima Elgon. Ni makao makuu ya wilaya ya Mbale. Umbali na Jinja ni 120 km na 190 km na Kampala.

[hariri] Uchumi

Mazingira ya Mbale kuna kahawa nyingi na pia kilimo cha mazao mengine. Hivyo uchumi wa mji umetegemea kilimo na biashara ya mazao. Kuna pia kiwanda cha maziwa.

[hariri] Utamaduni

Eneo la Mbale ni nyumbani kwa Wagishu hasa. Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Uganda kipo mjini.

Picha kadhaa za filamu "Casino Royale" zilipigwa Mbale.

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine