Moyo (mji)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Mji wa Moyo,Uganda

Moyo ni makao makuu ya Wilaya ya Moyo (Mkoa wa Kaskazini) nchini Uganda.

Idadi ya wakazi wake ni takriban 12,100 (2020).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: