Mangalmé (Chad)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Msafara wa Ngamia huko Mangalme Guera, Chad
Msafara wa Ngamia huko Mangalme Guera, Chad

Mangalmé (Chad) ni mji uliopo katika mkoa wa Guera nchini Chad.

Mwaka 2009 idadi ya watu ilikadiriwa kuwa 11,155 [1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Major Cities, Republic of Chad, tovuti ya citypopulation.de
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mangalmé (Chad) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.