Mamlaka ya Weupe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mamlaka ya watu weupe)
Wanachama wa kikundi cha kibaguzi cha Ku Klux Klan katika mbio zao mnamo 1923. Hicho ni kikundi cha mijitu mibaguzi hakuna mfano.

Mamlaka ya Weupe (kwa Kiingereza: White supremacy au white supremacism) ni itikadi ambayo imejikita katika imani ya kumwezesha au kumhamasisha Mzungu kujiona juu na bora zaidi ya watu wa rangi nyingine, hivi kwamba watu weupe waweze kuwashinda watu ambao sio weupe katika nyanja zote yaani uchumi, siasa na jamii.

Kwa baadhi ya watalaamu wa Kizungu hilo ni kundi la chuki.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mamlaka ya Weupe kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.