Makoma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nathalie Makoma.

Makoma ilikuwa bendi ya muziki wa Injili kutoka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Makoma wanaimba kwa Kilingala, Kiingereza na Kifaransa, na wakati mwingine Kiholanzi na Ujerumani.

Makoma iliundwa na:

  • Nathalie Makoma
  • Annie Makoma
  • Pengani Makoma
  • Tutala Makoma
  • Duma Makoma
  • Martin Makoma
  • Patrick Badine
  • Papaa Letoni

Albamu[hariri | hariri chanzo]

  • Nzambe na Bomoyi (Jesus For Life) (1999)
  • Makoma (2000)
  • Mokonzi na Bakonzi (King of Kings) (2002)
  • Baby Come (2002)
  • Na Nzambe Te, Bomoyi Te (No Jesus, No Life) (2005)
  • My Sweet Lord (Gospel Edition) (Makoma featuring Nathalie Makoma) (2005)
  • Evolution (2012)

Nyimbo maarufu[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]


Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Makoma kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.