Makaburi ya Masultani, Zanzibar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kaburi ambalo halijaisha la Seyyid Said, Zanzibar (1920).

Makaburi ya Masultani yapo kadhaa katika kitongoji cha Forodhani, Zanzibar.

Kutokana na mila za nyakati za zamani maeneo ya maziko yalitakiwa kuwa karibu na nyumba.

Familia ya sultani ilizikwa haswa karibu na ikulu. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-05-12. Iliwekwa mnamo 2021-05-13.