Majadiliano:Taya
Shida za taya[hariri chanzo]
Sehemu hii haieleweki. Sielewi "taya laini" ni nini. Magonjwa yanayotokea kweli hayatajwi (kama maambukizo ya kifupa, kukaza mno musuli za taya, nk). Kipala (majadiliano) 19:06, 6 Februari 2018 (UTC)
- Inaonekana kuna watu wawili wanachangia mada za afya na tiba ili kupendekeza bidhaa zao. Mmoja alitangulia (Jimmwandishi), mwingine alifuata (Hreflafa). Nimewavumilia nikijaribu kurudisha michango yao katika taratibu za Wikipedia, lakini... --Riccardo Riccioni (majadiliano) 11:20, 7 Februari 2018 (UTC)