Lakhdar Adjali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lakhdar Adjali (alizaliwa 18 Julai 1972 huko Algiers) ni meneja wa kandanda huko Algeria na mchezaji wa zamani ambaye hivi karibuni alikuwa kocha mkuu wa klabu ya NA Hussein Dey. [1]

Klabu[hariri | hariri chanzo]

  • 1991–1994 NA Hussein Dey
  • 1994–1997 Amiens SC
  • 1997–1999 FC Martigues
  • 1999–1999 FC Sion
  • 1999–2000 ES Wasquehal
  • 2000–2000 Brentford FC
  • 2000–2002 Amiens SC
  • 2002–2003 Al-Rayyan SC
  • 2003–2004 RC Kouba

Heshima[hariri | hariri chanzo]

  • Mshindi wa fainali katika Coupe de France 2001 akiwa na klabu ya Amiens SC
  • Alishiriki katika Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 1998 nchini Burkina Faso
  • Amecheza mechi 22 katika timu ya taifa ya Algeria

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "USM Annaba : Lakhdar Adjali nouveau coach".  Unknown parameter |df= ignored (help)

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lakhdar Adjali kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.