Kyetume

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Kyetume katika ramani ya Uganda kama ambavyo inaonekana kwa majiranukta 00°19′10″N 32°46′10″E / 0.31944°N 32.76944°E / 0.31944; 32.76944

Kyetume ni mji katika wilaya ya Mukono katika Mkoa wa Kati huko nchini Uganda.

Mahalli[hariri | hariri chanzo]

Kyetume iko ndani ya mji wa Mukono, mnamo 2014 ilikuwa na idadi ya watu 161,996.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. UBOS (27 August 2014). "The Population of The Regions of the Republic of Uganda And All Cities And Towns of More Than 15,000 Inhabitants". Citypopulation.de Quoting Uganda Bureau of Statistics (UBOS). Iliwekwa mnamo 19 July 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)