Kwirino wa Roma (30 Aprili)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Kwirino na Mt. Balbina.

Kwirino wa Roma (alifariki Roma, 116) ni mwanasheria wa Roma ya Kale aliyefia dini ya Kikristo[1].

Tangu kale anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali ya Ukristo kama mtakatifu mfiadini.

Binti yake pia, Balbina wa Roma anaheshimiwa kama mtakatifu, hasa tarehe 31 Machi.

Sikukuu ya Kwirino huadhimishwa tarehe 30 Aprili[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "CATHOLIC ENCYCLOPEDIA: Sts. Quirinus". www.newadvent.org. 
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Walter Bader: St Quirinus zu Neuss. 1955
  • Max Tauch: Quirinus von Neuss. 2000, ISBN|3-87909-692-9
  • Helmut Wessels: Neuss und St. Quirin zu Fuß. 2004, ISBN|3-7616-1801-8, Engl. ISBN|3-7616-1956-1)
  • Erich Wimmer: Quirinus von Neuss. in Lexikon für Theologie und Kirche (LThK) Bd. 8

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.