Kola Adams

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kola Modupe Adams (alizaliwa 18 Novemba 1980 nchini Nigeria) ni mwanasoka mstaafu wa Nigeria.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Baada ya kuichezea klabu ya Clermont Foot huko Ufaransa , Adams alisajiliwa na klabu ya Shanghai SIPG katika ligi kuu ya Uchina, ambako alikaa kwa misimu michache.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kola Adams kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.