Jimbo la Uchaguzi la Kisumu Mjini Magharibi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Jimbo la Uchaguzi la Kisumu Mjini Magharibi ni mojawapo ya Majimbo 210 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Wilaya ya Kisumu miongoni mwa majimbo matatu ya wilaya hiyo. Lina wodi 11, zote zikichagua madiwani kwa munisipali ya Kisumu.

Kenya
Coat of arms of Kenya.svg

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Yaliyomo

Historia [hariri]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1997 kutokana na mutawanywa kwa jimbo kubwa la Kisumu Mjini.

Wabunge [hariri]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1997 Job Omino NDP
2002 Job Omino NARC
2003 Kennedy Odhiambo Nyagudi NARC Uchaguzi Mdogo
2007 John Olago Aluoch ODM

Wodi [hariri]

Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliojiandikisha
Aerodrome 2,676
Kaloleni / Shauri Moyo 3,623
Kibuye 5,655
Kisumu Central 9,054
Kisumu East 5,347
Kisumu North 4,873
Market 7,478
Milimani 8,441
Railway 11,855
South West Kisumu 6,724
Stadium 5,307
Jumla 71,033
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia [hariri]

Virejeleo [hariri]