Jane Kasumba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru




Jane Kasumba
Nchi Uganda
Majina mengine Jane Kasumba
Kazi yake Mwanasheria na Mwandishi wa habari uganda



Maandishi ya kooze

Jane Kasumba
Jane Kasumba

Jane Kasumba ni mwanasheria na mwandishi wa habari wa Uganda, mtaalamu wa habari za michezo mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka kumi na mbili katika taaluma za uandishi wa habari Kwa muda mrefu amefanya kazi katika kituo cha habari cha UBC TV kama meneja.[1]

Elimu na Historia[hariri | hariri chanzo]

Jane Kasumba amesoma Afrika na Ulaya. Pia alilelewa katika mabara yote mawili. Jane Kasumba ana shahada ya kwanza ya Sayansi ya Siasa, Shahada ya Kwanza ya Sheria na Stashahada ya Uzamili ya Sheria. Jane pia ana sifa nyingi za utayarishaji wa televisheni kutoka Uchina na Ufaransa. Jane ndiye mpokeaji wa fahari wa Tuzo 3 za FICTS na Tuzo 3 za RTV miongoni mwa sifa nyinginezo. Mnamo mwaka 2016 alitunukiwa tuzo na Chama cha Wanahabari Wanawake wa Uganda kwa kuripoti kwake uchaguzi mkuu wa Uganda, mwaka 2016.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Muhaise, Agatha. "Uganda: Female Journalists Recognised for Election Coverage", The Monitor (Kampala), 2016-05-03. 
  2. joomlasupport. "Jane Kasumba: When I’m at work I cease being woman", The Observer - Uganda. Retrieved on 2023-02-25. (en-gb) Archived from the original on 2023-02-25. 
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jane Kasumba kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.