Jamii kunde

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamii kunde mbalimbali

Jamii kunde (makundekunde) ni jina la kujumlisha mbegu za kuliwa zinazofanana na kunde. Zote zinatokana na mimea ya jamii ya Fabacea (au Leguminosa). Mbegu hizi ziko ndani ya ganda linalokauka na kumwaga mbegu kwa ardhi.

Mbegu za makundekunde ni sehemu muhimu ya chakula cha kibinadamu kwa sababu huwa na kiwango kikubwa cha protini na pia huleta mazao mazuri. Kwa watu wasiokula nyama au wana uwezo mdogo tu kujipatia nyama mbegu za jamii kunde zinatosheleza mahitaji ya protini.

Kati ya mazao ya jamii kunde ni: