Inhebantu wa Busoga
Inhebantu wa Busoga, anayejulikana kama Mama wa Busoga, ni cheo kinachopewa malkia ambaye ni mke wa mtawala wa Ufalme wa Busoga - Kyabazinga wa Busoga nchini Uganda. [1]
Mwisho wa Inhebantu alikuwa Alice Muloki, ambaye alifariki Novemba 6, 2005.[2] Septemba 7, 2023, Ufalme wa Busoga ulitangaza Jovia Mutesi kuwa Inhebantu wa Ufalme (Malkia wa Busoga).[3]
# | Jina | Kutoka | Kwa |
---|---|---|---|
1. | Yunia Nakibande | ||
2. | Susan Nansikombi Kaggwa | ||
3. | Yuliya Babirye Kadhumbula Nadiope | ||
4. | Alice Kintu Muloki Florence Violet | 21 January 1956[5][6] | 6 November 2005[5] |
5. | Jovia Mutesi | 18 November 2023 |
- ↑ "I didn’t expect Mutesi to bring bricklayer as husband, says father". Monitor (kwa Kiingereza). 2023-11-18. Iliwekwa mnamo 2023-11-20.
- ↑ Bita, George. "Life and times of Wako Muloki", New Vision, 2008-09-14. Retrieved on 2008-09-26. Archived from the original on 2008-09-02.
- ↑ Ismail, Ssendaza (2023-09-07). "Busoga Kingdom Announces Royal Wedding of Kyabazinga and Inebantu Jovia Mutesi". Now Then Digital (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2023-11-22.
- ↑ "Kyabazinga marries in Busoga’s first royal wedding since 1956". Monitor (kwa Kiingereza). 2023-11-19. Iliwekwa mnamo 2023-11-20.
- ↑ 5.0 5.1 "Life and times of Wako Muloki". New Vision (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-11-20.
- ↑ Samalie, Kisakye (2023-11-11). "Busoga has not experienced a King’s wedding for the last 69 years, so what happens at the King’s wedding?". Nile Post. Iliwekwa mnamo 2023-11-21.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |