Hifadhi ya Taifa ya Augrabies Falls

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hifadhi ya Taifa ya Augrabies Falls ni mbuga ya Taifa inayopatikana karibu na Maporomoko ya Augrabies, takribani km 120 magharibi mwa Upington [1] katika mkoa wa Rasi Kaskazini, Afrika Kusini . Ilianzishwa mwaka 1966. [2]

Hifadhi ya Taifa ya Augrabies Falls ina ukubwa wa eneo la kilomita za mraba 820 [3] na kuenea kando ya Mto Orange . Eneo hilo ni kame sana. Maporomoko ya maji yana urefu wa takribani mita 60 [4].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tony Pinchuck; Barbara McCrea; Donald Reid (2002). South Africa. Rough Guides. uk. 323. ISBN 978-1-85828-853-6. 
  2. Heather Du Plessis (1 January 2000). Tourism Destinations Southern Africa. Juta and Company Ltd. ISBN 978-0-7021-5272-6.  Check date values in: |date= (help)
  3. "Augrabies Falls National Park (South African media online)". sanparks.africamediaonline.com/. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-03-04. Iliwekwa mnamo 30 July 2015.  Check date values in: |accessdate= (help)
  4. "Augrabies Falls National Park". SA Places. Iliwekwa mnamo 30 July 2015.  Check date values in: |accessdate= (help)