Hefei
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Hefei | |||
|
|||
| Nchi | China | ||
|---|---|---|---|
| Jimbo | Anhui | ||
| Idadi ya wakazi | |||
| - Mji | 4,627,300 | ||
| Tovuti: www.anhui.gov.cn | |||
Hefei (合肥) ndiyo mji mkuu katika jimbo la Anhui. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2005, mji una wakazi wapatao milioni 4.6 wanaoishi katika mji huu.
| Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Hefei kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |