Glasgow

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jiji la Glasgow
Majiranukta: 55°51′29″N 4°15′32″W / 55.85806°N 4.25889°W / 55.85806; -4.25889
Nchi Uskoti
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 580,690
Tovuti:  www.glasgow.gov.uk
Shipping on the Clyde, John Atkinson Grimshaw, 1881

Glasgow ni mji katika Uskoti magharbi.

Glasgow ni mji mkubwa kuliko yote ndani ya Uskoti, wenye wakazi karibu nusu milioni, lakini si mji mkuu. Bunge la Uskoti liko Edinburgh.

Una timu mbili maarufu za soka: Celtic na Rangers.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Glasgow kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.