Feetham Filipo Banyikwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Feetham Filipo Banyikwa (amezaliwa tar. 3 Oktoba 1947) ni mbunge wa jimbo la Ngara katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri]

Marejeo[hariri]

  1. Mengi kuhusu Feetham Filipo Banyikwa (13 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.