Emily Orwaru

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Emily Orwaru (alizaliwa 1988) ni mhandisi wa anga nchini Kenya, ambaye anafanya kazi kama mhandisi wa mipango ya angani, katika Kenya Airways,[1] shirika la ndege la taifa la nchi hiyo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Website of Kenya Airways
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Emily Orwaru kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.