Diego Velázquez

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Velasquez alivyojichora mwenyewe mnamo 1630

Diego Velázquez (Juni 1599 - 6 Agosti 1660) alikuwa mchoraji mashuhuri wa Hispania wakati wa karne ya 17.

Alikuwa mchoraji aliyependwa na mfalme Filipo IV wa Hispania akachora watu wengi wa familia ya mfalme na waungwana waliokaa kwenye jumba la kifalme. Mweyewe alioa akazaa mabinti wawili.

Alisafiri pia hadi Italia alikopokea athira mbalimbali kwa kazi yake.

Mifano ya taswira zake[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Diego Velázquez kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.