Deshat

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Deshat

Deshat ni mlima wa Balkani (Ulaya), kati ya nchi za Albania na Jamhuri ya Masedonia Kaskazini.

Urefu wake ni mita 2,375 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Deshat kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.