Delhi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Majengo maarufu ya Delhi

Delhi ni jiji kubwa la pili na pia eneo maalumu katika Uhindi. Ndani yake uko mji mkuu wa Uhindi New Delhi. Eneo lake ni km² 1,484 na idadi ya wakazi hukadiriwa kuwa zaidi ya watu milioni 11 (2011).

Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Delhi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.