Daniel Yona
Daniel Yona (alizaliwa 3 Mei 1941) ni mwanasiasa nchini Tanzania na mwanachama wa CCM na alikuwa Mbunge wa jimbo la Same Mashariki.[1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Member of Parliament CV". Parliament of Tanzania. 2010. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2 January 2014. Iliwekwa mnamo 2 January 2014. Unknown parameter
|url-status=
ignored (help); Check date values in:|archivedate=, |accessdate=
(help)
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |