Nenda kwa yaliyomo

Jaji Mkuu wa Tanzania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Chief Justice of Tanzania)

Jaji mkuu wa Tanzania ni cheo ama wadhifa wa juu zaidi katika mfumo wa mahakama wa Tanzania . Jaji mkuu huteuliwa na Rais wa Tanzania na huongoza Mahakama ya Rufani ya Tanzania. [1]

Historia[hariri | hariri chanzo]

Baada ya Vita vya Kwanza vya dunia, wakoloni wa zamani wa Tanganyika ,wajerumani waliwekwa chini ya mamlaka ya Uingereza katika Mkataba wa Versailles mwaka wa 1919. [2] Mwaka mmoja baadaye, Mahakama Kuu ilianzishwa kwa sheria katika Baraza na nafasi ya jaji mkuu ikaundwa. [3] Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 na baada ya mwaka mmoja ikageuzwa kuwa jamhuri. [4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Peter and Bisimba (2007), p. 326
  2. Skinner (2005), . 184
  3. Peter and Bisimba (2007), p. 62
  4. Heyns (1997), p. 282