Catherine Valentine Magige

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Catherine Valentine Magige (alizaliwa mkoani Arusha 8 Mei 1981) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka mitano (20152020 [1]). Amehitimu katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Maisha[hariri | hariri chanzo]

Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Kimandolu kuanzia 1989-1995 na elimu ya sekondari katika shule wa wasichana Ngarenaro kuanzia 1996-1999.[2].

Mwaka 2014 alikuwa mwakilishi katika bunge la Katiba [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. https://www.jamiiforums.com/threads/wasifu-wa-ndani-mh-catherine-magige-na-nia-yake-ya-2015.290791/
  3. https://www.jamiiforums.com/threads/wasifu-wa-ndani-mh-catherine-magige-na-nia-yake-ya-2015.290791/