Cambridge, Massachusetts
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
- Tazama pia Cambridge na Cambridge, Ontario
| Cambridge | |
| Mahali pa mji wa Cambridge katika Marekani | |
| Anwani ya kijiografia: 42°22′25″N 71°6′38″W / 42.37361°N 71.11056°W | |
| Nchi | Marekani |
|---|---|
| Jimbo | Massachusetts |
| Wilaya | Middlesex |
| Idadi ya wakazi | |
| - Mji | 101,388 |
| Tovuti: www.cambridgema.gov | |
Mahali pa Cambridge katika Middlesex County na Massachusetts
Cambridge ni mji wa Marekani katika jimbo la Massachusetts ambayo ni sehemu ya rundiko la jiji la Boston. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao 100,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 12 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Mji huu uliundwa mwaka 1631 na wakoloni Waingereza kwa jina la "Newe Towne" (mji mpya) kando la Boston. Mwaka 1636 chuo chake cha kwanza kilianzishwa na kutokana na chuo hiki jina la mji likabadilishwa kuwa "Cambridge" kwa heshima la Chuo Kikuu cha Cambridge katika Uingereza.
Leo hii Cambdridge wa Massachusetts inajulikana hasa kutokana na vyuo viwili mashuhuri ambavyo ni Chuo Kikuu cha Harvard na Chuo cha Teknolojia cha Massachusetts (Massachusetts Istitute of Technology MIT).
Viungo vya nje [hariri]
- Chuo Kikuu cha Harvard
- Official City Page
- A multimedia walking tour of Cambridge provided by the Cambridge Office of Tourism.
- A Brief History of Cambridge
- Cambridge Office for Tourism
- Cambridge, Massachusetts katika Open Directory Project
Cambridge (Massachusetts) travel guide kutoka Wikisafiri
- Ramani
- Cambridge Maps
- City of Cambridge Geographic Information System (GIS)
- 1871 Atlas of Massachusetts. by Wall & Gray. Map of Massachusetts. Map of Middlesex County.
- Dutton, E.P. Chart of Boston Harbor and Massachusetts Bay with Map of Adjacent Country. Published 1867. A good map of roads and rail lines around Cambridge.
- Cambridge Citymap - Community, Business, and Visitor Map.
- Old USGS maps of Cambridge area.