Blaise Compaoré
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Blaise Compaoré (amezaliwa 3 Februari, 1951) ni Rais wa nchi ya Burkina Faso tangu 15 Oktoba, 1987. Alimfuata Thomas Sankara.
| Makala hii kuhusu mtu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Blaise Compaoré kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |