Ayaan Hirsi Ali
Ayaan Hirsi Ali (kwa Kisomali: Ayaan Xirsi Cali: Ayān Ḥirsī 'Alī; alizaliwa: Ayaan Hirsi Magan, huko Somalia, 13 Novemba 1969)[1] ni mwanaharakati wa haki za wanawake, mwandishi, msomi na mwanasiasa wa zamani raia wa Uholanzi na Marekani.[2][3]
Alipata usikivu wa kimataifa kwa kuwa mkosoaji wa Uislamu na mtetezi wa haki za wanawake wa Kiislamu, akipinga kwa nguvu ndoa za kulazimishwa, mauaji ya heshima, ndoa za utotoni na ukeketaji wa wanawake.[4][5]Alianzisha shirika la kulinda haki za wanawake liitwalo AHA Foundation. Ayaan Hirsi Ali hufanya kazi kwa ajili ya Hoover Institution na American Enterprise Institute.[6][7]
Mnamo mwaka 2003, Hirsi Ali alichaguliwa kuwa mwanachama wa baraza la wawakilishi la Uholanzi.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Ayaan Hirsi Ali". Britannica. https://www.britannica.com/biography/Ayaan-Hirsi-Ali. Retrieved 1 January 2018.
- ↑ "Ayaan Hirsi Ali on Q&A: the west must stop seeing Muslims only as victims", The Guardian, 16 May 2016.
- ↑ "Ayaan Hirsi Ali's 'Heretic'", The New York Times, 1 April 2015.
- ↑ "Ayaan Hirsi Ali: "You can't change these practices if you don't talk about them"", The New York Times, 24 February 2017.
- ↑ "Ayaan Hirsi Ali on Conversations with Bill Kristol".
- ↑ "Ayaan Hirsi Ali".
- ↑ "Ayaan Hirsi Ali". American Enterprise Institute - AEI (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2020-08-13.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ayaan Hirsi Ali kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Jamii:
- Pages containing cite templates with deprecated parameters
- CS1 maint: Unrecognized language
- Mbegu za watu
- Waliozaliwa 1969
- Wanawake wa Somalia
- Wanaharakati wa Somalia
- Wanawake wa Uholanzi
- Wanaharakati wa Uholanzi
- Wanawake wa Marekani
- Wanaharakati wa Marekani
- Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu