Avitus
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Marcus Maecilius Flavius Eparchius Avitus (takriban 395 – 17 Oktoba, 456) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 9 Julai, 455 hadi kifo chake. Alimfuata Petronius Maximus.
| Makala hiyo kuhusu "Avitus" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Avitus kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |

