Al Pacino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Al Pacino
Amezaliwa Alfredo James
25 Aprili 1940 (1940-04-25) (umri 72)

Alfredo James "Al" Pacino (amezaliwa tar. 25 Aprili, 1940) ni mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Huyu amepata kushinda Tuzo ya Academy akiwa kama Mwigizaji Bora, Tuzo ya Emmy, Tuzo ya Tony mbili. Huenda akawa anafhamika zaidi kwa kucheza kama Tony Montana kutoka katika filamu ya Scarface na Michael Corleone kwenye filamu ya The Godfather.

[hariri] Viungo vya Nje

Us-actor.svg Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Al Pacino kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine