Adadi Mohamed Rajabu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Adadi Mohamed Rajabu (amezaliwa 20 Januari 1955) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Muheza kwa miaka 20152020. [1] [2]

Ni Mwenyekiti wa Kamati ya mambo ya ndani, ulinzi na usalama wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.tzembassy.go.tz/ambassadors/view/adadi-mohamed-rajabu
  2. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017