Abiya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mfalme Abiya alivyochorwa na Guillaume Rouillé mwaka 1553.

Mfalme Abiya (kwa Kiebrania: אֲבִיָּם, ʼAvīyam au ʼĂḇīyyām; yaani "Baba wa bahari" au "Baba yangu ni bahari"; pia: אֲבִיָּה, ʼAbiyya, "Baba yangu ni YHWH"; 950 KK hivi - 911 KK) alitawala ufalme wa Yuda kati ya miaka 913 KK na 911 KK.

Muda huo alijitahidi kurudisha chini ya ukoo wake makabila yote ya Israeli yaliomuasi baba yake, Rehoboamu, mwana wa Solomoni.

Alikuwa na wake 14, watoto wa kiume 22 na wa kike 16.

Habari zake zinapatikana hasa katika Kitabu cha Pili cha Wafalme 15 na Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati 12-13.

Pia anatajwa na Injili ya Mathayo kati ya mababu wa Yesu Kristo.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Lesley, J. P. (1881). "Notes on an Egyptian Element in the Names of the Hebrew Kings". Proceedings of the American Philosophical Society 19 (108): 412. JSTOR 982265. 
  • [1] Abiya katika Jewish Encyclopedia
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abiya kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.