Abiodun Akande

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Abiodun Akande (alizaliwa 10 Desemba 1993 huko Ibadan, Jimbo la Oyo) ni kipa wa kandanda kutoka Nigeria ambaye anachezea klabu ya Plateau United. [1] Amewahi kuzichezea klabu kama Shooting Stars F.C., Sunshine Stars F.C., Rivers United.Pia Mnamo mwaka 2021, Akande alianza kuichezea klabu ya Plateau United hadi sasa.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Abiodun Akande alianza taaluma yake akiwa na klabu ya Shooting Stars F.C. katika msimu wa 2010.

Kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Akande Amechezea Klabu za ligi kama Nigeria U-17, Nigeria U-20 na Nigeria U-23.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abiodun Akande kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.