333 KK
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yaliyomo |
[hariri] Matukio
[hariri] Ugiriki wa Kale / Uajemi
- Aleksander Mkuu anaendelea na vita katika Anatolia dhidi ya Uajemi. Anafungua fundo la Gordion kwa kuikata.
- Novemba - Mapigano ya Issos, Aleksander anashinda jeshi la Mfalme Mkuu Darius III wa Uajemi. Mfalme anakimbia lakini mke na watoto wake wanakamatwa na Wagiriki.
[hariri] Roma ya Kale
- Publius Cornelius Rufinus anachaguliwa kuwa dikteta wa jamhuri ya Roma.
[hariri] Waliozaliwa
- Zenon wa Kition ni mwanafalsafa Mgiriki na mwanzisilishaji wa falsafa ya stoa († 264 KK)
[hariri] Waliofariki
- Memnon wa Rhodos aliyekuwa jemadari Mgiriki wa kukudoshwa