Milima ya Altai : Tofauti kati ya masahihisho
Created by translating the page "Altai Mountains" |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 09:58, 14 Desemba 2019
Milima ya Altai ni safu ya mlima katika Asia ya Kati na ya Mashariki. Urusi, China, Mongolia, na Kazakhstan zinakutana katika milima hii, pia ni chanzo cha mito ya Irtysh na Ob.
Safu hiyo imeungwa na Milima ya Sayan kwenye kaskazini mashariki ikiishia upande wa kusini mashariki katika Jangwa la Gobi.
Wakazi wa eneo lake si wengi wakiwa mchanganyiko wa Warusi, Wakazakhi, Waaltai na Wamongolia . Uchumi wa eneo hilo unategemea ufugaji wa ng'ombe, farasi na kondoo, pamoja na kilimo, misitu, na uchimbaji madini .
Milima mirefu zadi hufikia kimo cha mita 4,500.
Vidokezo
Hitilafu ya kutaja: <ref>
tag with name "bbc110803" defined in <references>
is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref>
tag with name "plos110728" defined in <references>
is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref>
tag with name "plosone130306" defined in <references>
is not used in prior text.
<ref>
tag with name "bbc0901" defined in <references>
is not used in prior text.Viungo vya nje
- Altai Mountains
- "Ancient spirit and might preserved by indigenous people of Altay." katika YouTube RT . 6 Novemba 2011.
- Mwongozo wa Mlima Altai - Karibu Altai
- Picha za Mlima Altai - Altai-Picha
- Milima ya Dhahabu ya Altai katika Mfuko wa Ulinzi wa Urithi wa Maliasili
- Tathmini ya UNESCO ya Altai (faili la PDF)