Grammy Awards

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Tuzo za Grammy)
Grammy Awards
Hutolewa kwa ajili ya Kufanya vizuri katika soko la muziki
Hutolewa na NationalARAAS
Nchi Marekani
Imeanza kutolewa mnamo 1958
Tovuti rasmi

Grammy Awards au Tuzo za Grammy (awali iliitwa Gramophone Awards)—au Grammys—hutolewa kila mwaka na National Academy of Recording Arts and Sciences ya nchini Marekani kwa ajili ya kazi zilizopata mafanikio makubwa katika soko la muziki. Sherehe hizi za ugawaji wa tuzo hushirikisha wasanii mashuhuri na wale machipukizi, na baadhi ya tuzo zao huwa maarufu na huonyeshwa katika matelevisheni mengi nchi nzima.

Makundi[hariri | hariri chanzo]

Makundi makuu ya au jamii kuu za aina ya muziki ni nne.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
Lists


Kigezo:Soko la muziki