Sigfrid Selemani Ng'itu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Sigifrid Seleman Ng'itu)

Sigfrid Selemani Ng'itu (amezaliwa tar. 1 Januari 1954) ni mbunge wa jimbo la Ruangwa katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Mengi kuhusu Sigfrid Selemani Ng'itu (17 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.