Maporomoko ya Niagara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza bcl:Busay Niagara |
d r2.7.2+) (Robot: Modifying ka:ნიაგარა (ჩანჩქერი) to ka:ნიაგარის ჩანჩქერი |
||
Mstari 71: | Mstari 71: | ||
[[ja:ナイアガラの滝]] |
[[ja:ナイアガラの滝]] |
||
[[jv:Niagara]] |
[[jv:Niagara]] |
||
[[ka: |
[[ka:ნიაგარის ჩანჩქერი]] |
||
[[kn:ನಯಾಗರ ಜಲಪಾತ]] |
[[kn:ನಯಾಗರ ಜಲಪಾತ]] |
||
[[ko:나이아가라 폭포]] |
[[ko:나이아가라 폭포]] |
Pitio la 06:36, 19 Novemba 2012
Maporomoko ya Niagara (Niagara Falls) ni mfululizo wa maporomoko ya mto Niagara yaliyopo mpakani mwa Kanada na Marekani kati ya Ziwa Erie na Ziwa Ontario. Ni maporomoko makubwa ya Amerika ya Kaskazini.
Wenyeji hutofautisha maporomoko matatu
- Horseshoe Falls (maporomoko ya mguu wa farasi, yanaitwa pia maporomoko ya Kikanada)
- Maporomoko ya Kimarekani
- Maporomoko ya Bridal Veil (utaji wa bibi arusi)
Ni kitovu cha utalii katika Amerika ya Kaskazini kinachotembelewa na watalii wngi sana.
Kuna miji miwili inayoitwa Niagara Falls upande wa Kanada na mwingine upande wa Marekani.