Kiwango utatu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 30: Mstari 30:
[[sk:Trojný bod]]
[[sk:Trojný bod]]
[[sl:Trojna točka]]
[[sl:Trojna točka]]
[[sr:Тројна тачка]]
[[sv:Trippelpunkt]]
[[sv:Trippelpunkt]]
[[vi:Điểm ba trạng thái]]
[[vi:Điểm ba trạng thái]]

Pitio la 10:14, 14 Oktoba 2007

Kiwango utatu ni kiwango cha maji au dutu nyingine inapoweza kuwa mahali pamoja katika hali imara, kiowevu na gesi (kwa mfano wa maji: barafu, majimaji na mvuke). Kiwango hiki kinategemea halijoto na shindikizo.

Kiwango utatu cha maji ni kiwango cha kukadiria skeli ya selsiasi au sentigredi (273.16 K au 0.01 °C).


Wikimedia Commons ina media kuhusu: