Jinja : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (roboti Nyongeza: bg:Джинджа |
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza af:Jinja |
||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
[[Category:Miji ya Uganda]] |
[[Category:Miji ya Uganda]] |
||
[[af:Jinja]] |
|||
[[bg:Джинджа]] |
[[bg:Джинджа]] |
||
[[ca:Jinja (Uganda)]] |
[[ca:Jinja (Uganda)]] |
Pitio la 10:20, 24 Juni 2012
Jinja ni mji wa pili katika Uganda. Iko kando la ziwa Viktoria Nyanza takriban katikati ya Kampala na mpaka wa Kenya kwa umbali wa 90 km mashariki ya Kampala. Jinja iko kando ya chanzo ya Nile inapotoka katika ziwa Viktoria Nyanza. Kuna wakazi 106,000.
Jinja ni mji wa viwanda.
Makala hii kuhusu maeneo ya Uganda bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Jinja kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |