Kisotho-Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: yo:Èdè Sotho Apáàríwá |
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza hr:Sjeverni sotho jezik |
||
Mstari 20: | Mstari 20: | ||
[[fi:Pohjoissothon kieli]] |
[[fi:Pohjoissothon kieli]] |
||
[[fr:Sotho du Nord]] |
[[fr:Sotho du Nord]] |
||
[[hr:Sjeverni sotho jezik]] |
|||
[[id:Bahasa Sepedi]] |
[[id:Bahasa Sepedi]] |
||
[[it:Lingua sotho del nord]] |
[[it:Lingua sotho del nord]] |
Pitio la 18:02, 12 Juni 2012
Kisotho-Kaskazini (pia Kisepedi) ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasepedi. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kaskazini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni nne. Pia kuna wasemaji 11,000 nchini Botswana. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kaskazini kiko katika kundi la S30.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |