Moskva (mto) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Badiliko: id:Sungai Moskwa |
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: be-x-old:Масква (рака) |
||
Mstari 25: | Mstari 25: | ||
[[arz:نهر موسكفا]] |
[[arz:نهر موسكفا]] |
||
[[be:Рака Масква]] |
[[be:Рака Масква]] |
||
[[be-x-old:Масква (рака)]] |
|||
[[bg:Москва (река)]] |
[[bg:Москва (река)]] |
||
[[bs:Moskva (rijeka)]] |
[[bs:Moskva (rijeka)]] |
Pitio la 19:25, 28 Oktoba 2011
Chanzo | Vilima vya Smolensk |
Mdomo | Mto Oka (karibu na Kolomna) |
Nchi | Urusi |
Urefu | 509 km |
Mkondo | 7,000 m³/s |
Eneo la beseni | 17,600 km² |
Miji mikubwa kando lake | Moscow |
Mto Moskva (Kirusi: Москва) ni mto wa Urusi unaopita katika mikoa ya Moscow na Smolensk na kwenye mji wa Moscow mwenyewe. Urefu wake ni kilomita 503. Unaishia katika mto Oka kwenye mji wa Kolomna. Kwa jumla ni sehemu ya beseni ya Volga.