Kiwango utatu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: an:Punto triple
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: kk:Үштік нүкте
Mstari 30: Mstari 30:
[[it:Punto triplo]]
[[it:Punto triplo]]
[[ja:三重点]]
[[ja:三重点]]
[[kk:Үштік нүкте]]
[[ko:삼중점]]
[[ko:삼중점]]
[[la:Punctum triplex]]
[[la:Punctum triplex]]

Pitio la 19:58, 25 Agosti 2011

Kiwango utatu ni kiwango cha maji au dutu nyingine inapoweza kuwa mahali pamoja katika hali imara, kiowevu na gesi (kwa mfano wa maji: barafu, majimaji na mvuke). Kiwango hiki kinategemea halijoto na shindikizo.

Kiwango utatu cha maji ni kiwango cha kukadiria skeli ya selsiasi au sentigredi (273.16 K au 0.01 °C).


Wikimedia Commons ina media kuhusu: