Methali : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Ondoa: co, la, nds, su |
d [r2.6.3] roboti Nyongeza: tt:Мәкаль |
||
Mstari 83: | Mstari 83: | ||
[[tn:Maele]] |
[[tn:Maele]] |
||
[[tr:Atasözü]] |
[[tr:Atasözü]] |
||
[[tt:Мәкаль]] |
|||
[[uk:Прислів'я]] |
[[uk:Прислів'я]] |
||
[[ur:ضربالمثل]] |
[[ur:ضربالمثل]] |
Pitio la 12:06, 8 Desemba 2010
Methali ni aina ya usemi wa kisanii wa kimapokeo unaofikiriwa na jamii kuwa wa kweli na unaotumiwa kufumbia au kutolea mfano na huwa umebeba maana pana kuliko maneno yenyewe yanayotumiwa.
Kila Taifa na kila kabila lina methali zake, baadhi ya methali za kiswahili ni kama; mficha ugonjwa kifo humuumbua na mcheza kwao hutunzwa.